TENGENEZA BLOG BOMBA SASA..

Nahodha,Costa Concordia afungwa jela

http://i.huffpost.com/gen/809928/thumbs/o-CAPTAIN-FRANCESCO-SCHETTINO-COSTA-CONCORDIA-facebook.jpg
 Nahodha wa meli ya Costa Concordia iliyosababisha vifo vya watu watu 32 wakiwemo wafanyakazi wa meli hiyo amehukumiwa kwenda jela.


http://static.guim.co.uk/sys-images/Guardian/Pix/pictures/2012/1/18/1326890318806/Francesco-Schettino-capta-006.jpg
 Kwa mjibu wa hukumu hiyo Nahodha huyo atatumikia kifungo cha miaka 16 jela baada ya kubainika kuwa na makosa ya kuua bila kukusudia.
Francesco Schettino hakuwepo Mahakamani wakati hukumu hiyo ikitolewa. Miaka mitatu iliyopita Meli hiyo ya Costa Concordia iligonga miamba karibu na pwani ya Giglio nchini Italia na kusababisha vifo hivyo.
Hata hivyo Schettino bado anafursa ya kuweza kukata rufaa dhidi ya hukumu hiyo.

Share on Google Plus

About NELSON PASCHAL KAMUGISHA

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment

CREATED AND DESIGNED BY NELLYPAKA(WWW.NELLYPAKA.BLOGSPOT.COM)