Wanachama kadha wa dhebu moja lililojihami wameuawa kwenye mapigano na vikosi vya usalama nchini Angola.UNITA kinaitaka serikali ya Angola kuchunguza vifo vya waumini wa dhebu la Seventh Day Light of the World ambalo lilijitenga kutoka kanisa la Seventh Day Adventist.
Dhehebu hilo linamini kuwa dunia itaisha mwishoni mwa mwaka huu na limetoa witu kwa wafuasi wake kuondoka makwao na kuelekea milimani.



0 comments:
Post a Comment