HISIA tofauti zinaendelea kuibuka nchini, kufuatia uamuzi wa Mhakama
kuu wiki jana kwamba wapenzi wa jinsia moja wana haki ya kusajili
Mioungano ya kutetea maslahi yao.Majaji wa Mahakama kuu walisema uamuzi huo umetolewa kwa kuzingatia katiba, na wala suala hilo haliwezi kuangaziwa kwa misingi ya dani na maadili.
Awali Khadijajah Abubakar alisema na Wakili Bob Mkangi ambaye pia ni mmoja wa wataalam walioandika katiba na alianza kwa kumuuliza iwapo majaji wanaweza kutoa hukumu pasi na kuzingatia katiba, hasa katika kushughulikia suala ambalo idadi kubwa ya Wakenya inapinga kwa misingi ya dini na maadili.



0 comments:
Post a Comment