TENGENEZA BLOG BOMBA SASA..

Alijigundua kwamba anapenda sana kutumia Internet, akaamua kujifanyia ukatili mkono wake !!

Matumizi ya mitandao ya kijamii kama Facebook, Twitter, Instagram ni kitu ambacho kimeshika chati sana kwa sasa duniani, vijana wameonekana kuwa waathirika wakubwa wa matumizi ya mitandao hii.
teenage_boy_cuts_his_own_hand_to_cure_internet_addiction263372633726337_LKijana Little Wang ambaye umri wake ni miaka 19 huko China aliona njia pekee ya kukomesha tabia yake ya kupenda kutumia laptop na simu kuingia mtandaoni ni kujikata mkono wake, alipoona hali haimwendei sawa aliita taxi impeleke Hospitali ambapo hakuna aliyejua kinachoendelea nyumbani kwao, aliacha ujumbe kwamba ametoka kwenda Hospitali na angerudi muda mfupi baadaye.
Madaktari walimfanyia operation kuunga mkono huo huku wakiwa na matumaini kwamba baadae utaweza kufanya kazi kama ilivyokuwa mara ya kwanza kabla hajaukata.
Mama yake Little alisononeshwa na kitendo hiki na kusema hakutegemea mtoto wake angeweza kujifanyia ukatili wa aina hii.
Share on Google Plus

About NELSON PASCHAL KAMUGISHA

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment

CREATED AND DESIGNED BY NELLYPAKA(WWW.NELLYPAKA.BLOGSPOT.COM)