TENGENEZA BLOG BOMBA SASA..

Boko Haram washambulia Niger, Cameroon

http://abusidiqu.com/wp-content/uploads/2014/03/Boko-Haram-300x3363.jpg 
 Kundi la kigaidi la Boko Haram limeongeza mashambuzi katika nchi za Cameroon na Niger siku mbili baada ya nchi hizo majirani wa Nigeria kutangaza kuandaa vikosi kwa lengo la kupambana na Boko haram.
http://images.alarabiya.net/71/1c/640x392_6236_213627.gif 
 Watu wapatao ishirini walitekwa katika eneo la kaskazini mwa Cameroon wakati walipokuwa kwenye basi wakirudi nyumbani kutoka sokoni.

Watu hao walipelekwa katika kijiji cha Koza kilichopo mpakani wa Nigeria na Cameroon.
Kwa upande wa eneo la kusini mwa Niger, Boko haram walishambulia gereza na kulipua bomu lililobebwa kwenye gari katika mji wa Diffa.
Katika picha za video zilizowekwa kwenye mtandao kiongozi wa Boko Haram Abubakar Shekeu amesema majeshi hayo kutoka mataifa ya kanda hayateweza kutimiza malengo yao.
Jumamosi Nigeria, Cameroon, Chad, Niger and Benin walikubalina kuanzisha jeshi la pamoja lenye wanajeshi mia
Share on Google Plus

About NELSON PASCHAL KAMUGISHA

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment

CREATED AND DESIGNED BY NELLYPAKA(WWW.NELLYPAKA.BLOGSPOT.COM)