TENGENEZA BLOG BOMBA SASA..

Chelsea sasa yaongoza kwa pointi saba

Kocha wa Chelsea Jose Mourinho amesema kwamba haoni uongozi wa alama 7 juu ya jedwali la ligi ya Uingereza ni fursa ya timu hiyo kushinda ligi hiyo mwaka huu.
The Blues iliishinda Aston Villa 2-1 siku ya jumamosi huku Manchester City Inayoshikilia nafasi ya pili katika jedwali hilo ikiangukia sare ya 1-1 dhidi ya Hull City.
James Milner alifunga bao la Mancity lakini hakuisaidia timu yake kupunguza pengo lililopo kati yake na Chelsea katika uongozi wa Ligi.
Manchester city
Hull City ilikuwa ya kwanza kufunga bao kupitia mchezaji David Meyler.
Everton na Liverpool nazo zilitoka sare ya 0-0 katika Merseyside Derby iliochezwa katika uwanja wa Goodison Park
Haya hapa baadhi ya matokeo ya mechi zilizochezwa jumamosi.
liverpool
Tottenham 2 - 1 Arsenal
Aston Villa 1 - 2 Chelsea
Leicester 0 - 1 Crystal Palace
Man City 1 - 1 Hull
QPR 0 - 1 Southampton
Swansea 1 - 1 Sunderland
Everton 0 - 0 Liverpool
Share on Google Plus

About NELSON PASCHAL KAMUGISHA

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment

CREATED AND DESIGNED BY NELLYPAKA(WWW.NELLYPAKA.BLOGSPOT.COM)