TENGENEZA BLOG BOMBA SASA..

Fainali:Ghana kumenyana na Ivory Coast

Nahodha wa kikosi cha Ghana Asamoah Gyan huenda atashiriki katika mechi ya fainali dhidi ya Ivory Coast baada ya kupata nafuu ya jeraha la kiuno.
Mshambuliaji huyo alipata jeraha hilo baada ya kugongana na kipa wa Guinea Naby Yattara katika robo fainali na aliorodheshwa miongoni mwa wachezaji wa ziada wakati kikosi cha Ghana kilipocheza katika mechi ya nusu fainali.
Yaya Toure kukiongoza kikosi ch Ivory Coast
Vilevile Ivory Coast itamkosa kiungo wake wa kati Cheick Tiote ambaye hajapona jeraha la mguu.
Miamba hiyo ya ''The elephants'' itategemea mchezo mzuri kutoka kwa nahodha wao Yaya Toure kuilaza Ghana.
Share on Google Plus

About NELSON PASCHAL KAMUGISHA

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment

CREATED AND DESIGNED BY NELLYPAKA(WWW.NELLYPAKA.BLOGSPOT.COM)