TENGENEZA BLOG BOMBA SASA..

Mataifa ya milki za kiarabu kukabili IS

Muungano wa milki ya nchi za kiarabu unasema kuwa unatuma ndege za kivita aina ya F-16 kwenda nchini Jordan kusaidia taifa hilo katika harakati zake za kupambana na kundi la Islamic State kama sehemu ya muungano unaongozwa na Marekani.
Jordan imeapa kuliangamiza kundi hilo ambalo lilimuua kinyama rubani wa ndege za kivita raia wake.
Mashirika ya habari nchini humo yanasema kuwa hatua hiyo ni ishara ya uungwaji mkono unaopata Jordan kufuatia kujitolea kwake katika masuala ya usalama wa eneo hilo.
Share on Google Plus

About NELSON PASCHAL KAMUGISHA

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment

CREATED AND DESIGNED BY NELLYPAKA(WWW.NELLYPAKA.BLOGSPOT.COM)