
Wawakilishi wa Tanzania katika
michuano ya kombe la shirikisho barani Afrika Yanga Leo hii watajitupa
uwanjani kuwakabili BDF XI huko Gaborone, Botswana.
Huu ni mchezo wa marudiano ambapo mchezo wa awali Yanga walishinda magoli 2-0 mchezo ulifanyika Jijini Dar es Salaam Tanzania.
Jumamosi
Timu nyingine mbili za Tanzania, Azam FC na KMKM, zitakuwa Viwanjani
kwenye Mechi za raundi ya pili ya Klabu bingwa barani Afrika CAF
Wakati
Polisi ya Zanzibar itacheza Mechi yake ya Pili ya raundi ya kwanza ya
Mashindano ya CAF ya Kombe la Shirikisho hapo Jumapili.
Yanga na Azam FC, ambao wako Ugenini wanahitaji Sare ya aina yoyote au ushindi kuweza kusonga mbele kwa hatua inayofuata.
About
NELSON PASCHAL KAMUGISHA
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
0 comments:
Post a Comment