TENGENEZA BLOG BOMBA SASA..

Kombe la Shirikisho:Yanga dimbani leo

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjf9HFKgb4vjjvCehcE_cIyPaDFNCQDu91_c0hNn3u1nctfzfWrC9xSlFiFDGbbRR2Q7wueknU16Cl_f8cgGNpFIYowE1vD7SWWSbz5_v2LVBZBLaWYPlyK1sNIJUQOtGAFHC___ovwV44/s640/Yanga.jpgWawakilishi wa Tanzania katika michuano ya kombe la shirikisho barani Afrika Yanga Leo hii watajitupa uwanjani kuwakabili BDF XI huko Gaborone, Botswana.
Huu ni mchezo wa marudiano ambapo mchezo wa awali Yanga walishinda magoli 2-0 mchezo ulifanyika Jijini Dar es Salaam Tanzania.
Jumamosi Timu nyingine mbili za Tanzania, Azam FC na KMKM, zitakuwa Viwanjani kwenye Mechi za raundi ya pili ya Klabu bingwa barani Afrika CAF
Wakati Polisi ya Zanzibar itacheza Mechi yake ya Pili ya raundi ya kwanza ya Mashindano ya CAF ya Kombe la Shirikisho hapo Jumapili.
Yanga na Azam FC, ambao wako Ugenini wanahitaji Sare ya aina yoyote au ushindi kuweza kusonga mbele kwa hatua inayofuata.
Share on Google Plus

About NELSON PASCHAL KAMUGISHA

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment

CREATED AND DESIGNED BY NELLYPAKA(WWW.NELLYPAKA.BLOGSPOT.COM)