TENGENEZA BLOG BOMBA SASA..

Kufungwa kwa huduma kuathiri Wasomali

Ripoti mpya inasema kuwa Wasomali milioni 3 wanaotegemea kuhamisha fedha kutoka ng'ambo wako katika hatari ya kukabiliwa na njaa iwapo njia zao za kupata fedha zitafungwa.
Onyo hilo linajiri wiki mbili tu baada benki ya Marekani Merchants Bank of California ambayo imekuwa ikishughulikia uhamishaji wa fedha kwa 80% kutoka Marekani hadi Somalia kufunga huduma zake kutokana na wasiwasi kuwa fedha hizo zilikuwa zinawafikia wapiganaji wa Al-Shabaab.
Mwaka uliopita Benki ya Barclays nchini Uingereza ilifunga huduma ya kusafirisha pesa katika akaunti za Somali na benki za Australia vile vile zinafikiria kuchukua hatua ama hiyo.
Share on Google Plus

About NELSON PASCHAL KAMUGISHA

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment

CREATED AND DESIGNED BY NELLYPAKA(WWW.NELLYPAKA.BLOGSPOT.COM)