TENGENEZA BLOG BOMBA SASA..

Kwa nini mapigano hayakomi Ukraine?

Ofisi ya Rais nchini Ufaransa imesema Viongozi wa Urusi,Ukraine, Ufaransa na Ujerumani wamekemea ukiukwaji wa makubaliano ya kusitisha mapigano Mashariki mwa Ukraine .
Baada ya Mazungumzo ya simu kati ya Viongozi wanne wa Nchi hizo,walitoa wito wa utekelezwaji wa makubaliano yaliyowekwa mjini Minsk juma lililopita, ikiwemo kuacha kabisa mapigano.
Waangalizi wa kimataifa wanaofuatilia utekelezaji wa makubaliano hayo nchini Ukraine wamesema pande zote mbili zinajutia kushindwa kutekeleza makubaliano mjini Debaltseve.
Imeripotiwa kuwa maeneo mengine mapigano yamekoma
Share on Google Plus

About NELSON PASCHAL KAMUGISHA

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment

CREATED AND DESIGNED BY NELLYPAKA(WWW.NELLYPAKA.BLOGSPOT.COM)