TENGENEZA BLOG BOMBA SASA..

Liberia yatangaza kudhibiti Ebola

http://www.wreporter.com/wp-content/uploads/2011/10/Elections-in-Liberia-an-uncertain-re-election.jpg Rais wa Liberia Ellen Johnson Sirleaf ametangaza kwamba ugonjwa wa Ebola umedhibitiwa lakini usaidizi zaidi wa jamii ya kimataifa unahitajika kuhakikisha kuwa ugonjwa huo haurudi nchini humo baada ya kuangamizwa.

http://www.gannett-cdn.com/-mm-/8244f9d18d52e2269db363ba465502b3d8c1ccc4/c=0-196-2000-1324&r=x1803&c=3200x1800/local/-/media/KXTV/KXTV/2014/08/19/1408498895000-ebola-virus.jpg Ameiambia BBC kwamba kuimarisha mfumo wa afya ni muhimu.
Bi Johnson Sirleaf amekiri kwamba alifanya makosa wakati wa kuzuka kwa ugonjwa huo kama vile kupiga marufuku mikutano ya hadhara bila ya kuwaelezea raia.
Kumekuwa na ongezeko la ripoti za maambukizi mapya katika kipindi cha wiki mbili zilizopita katika mataifa yote matatu yaliokuwa na ugonjwa wa Ebola ikiwemo,Liberia,Guinea na Sierra Leone.
Zaidi ya watu 9000 wamefariki kutokana na ugonjwa huo tangu Disemba mwaka 2013.
Share on Google Plus

About NELSON PASCHAL KAMUGISHA

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment

CREATED AND DESIGNED BY NELLYPAKA(WWW.NELLYPAKA.BLOGSPOT.COM)