TENGENEZA BLOG BOMBA SASA..

Mancity yaicharaza West Brom 3-0

Mshambuliaji wa Mancity Wilfried Bonny alifunga bao lake la kwanza na kuiweka kifua mbele Mancity baada Gareth McAuley kupewa kadi nyekundu.
Fernandinho na David Silva waliongeza mabao mengine mawili na kuisaidia City kupunguza idadi ya pointi kati yake na viongozi wa ligi Chelsea kuwa tatu hadi pale kikosi hicho cha Jose Mourinho kitakapocheza mechi zake mbili.
Hatahivyo mechi hiyo iliangazia sana kutolewa kwa mchezaji McAuley baada ya sekunde 89 pekee,ikiwa ni uamuzi wa mapema sana kufanywa katika ligi ya Uingereza msimu huu,ilipobainika kwamba refa Neil Swarbrick alitoa kadi
nyekundi kwa mtu ambaye hakustahili.
Share on Google Plus

About NELSON PASCHAL KAMUGISHA

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment

CREATED AND DESIGNED BY NELLYPAKA(WWW.NELLYPAKA.BLOGSPOT.COM)