Hata hivyo wafuasi wa Rais Pierre Nkurunziza ambaye amekuwa madarakani Burundi tangu mwaka 2005, wanapinga suala hilo kwa hoja kuwa, muhula wa kwanza wa Nkurunziza haupasi kuhesabiwa kwa kuwa aliteuliwa na wabunge na si kwa kura za raia. Rais Jakaya Mrisho Kikwete wa Tanzania amesema kuwa, iwapo watu watakiuka katiba na mkataba wa amani wa Arusha, basi ipo hatari ya kuibuka upya machafuko huko Burundi ambayo yatakuwa vigumu kuyasitisha. Rais wa Tanzania aliyasema hayo jana usiku pambizoni mwa ziara yake ya siku mbili nchini Burundi.
Tanzania yaitahadharisha Burundi kuhusu machafuko
Hata hivyo wafuasi wa Rais Pierre Nkurunziza ambaye amekuwa madarakani Burundi tangu mwaka 2005, wanapinga suala hilo kwa hoja kuwa, muhula wa kwanza wa Nkurunziza haupasi kuhesabiwa kwa kuwa aliteuliwa na wabunge na si kwa kura za raia. Rais Jakaya Mrisho Kikwete wa Tanzania amesema kuwa, iwapo watu watakiuka katiba na mkataba wa amani wa Arusha, basi ipo hatari ya kuibuka upya machafuko huko Burundi ambayo yatakuwa vigumu kuyasitisha. Rais wa Tanzania aliyasema hayo jana usiku pambizoni mwa ziara yake ya siku mbili nchini Burundi.
0 comments:
Post a Comment