Hii ni baada ya Mahakama
ya Birmingham kumkuta na hatia ya kuwadhalilisha watoto wa kiume kingono
na pia kupatikana na picha za utupu za watoto.
Simon Harris mwenye umri wa miaka 55 ambaye alikuwa akiendesha Mradi wa misaada kwa Jamii anaaminika kufanya maovu hayo kwa karibu miaka ishirini.
Gladys Njoroge amekutana na baadhi ya waathirika ambao waliomba majina yao yahifadhiwe.
Simon Harris mwenye umri wa miaka 55 ambaye alikuwa akiendesha Mradi wa misaada kwa Jamii anaaminika kufanya maovu hayo kwa karibu miaka ishirini.
Gladys Njoroge amekutana na baadhi ya waathirika ambao waliomba majina yao yahifadhiwe.
About NELSON PASCHAL KAMUGISHA
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
0 comments:
Post a Comment