TENGENEZA BLOG BOMBA SASA..

Amani yadumishwa mashariki mwa Ukraine



http://www.abna24.com/cache/image/2015/01/19/ed32ab98b85b094ad4b2584d85971b30.jpg
 Usitishwaji mapigano unaonekana kudumishwa kati ya wanajeshi wa serikali na waasi wanaongwa mkono na Urusi mashariki mwa Ukrain.
Eneo hilo limeripotiwa kutulia tangu makubaliano hayo yalipoanza kutekelezwa usiku wa manane saa za eneo hilo licha ya kila upande kumlaumu mwingine kwa kukiuka makubaliano hayo.
Msemaji wa jeshi la Ukrain amesema kuwa wametekeleza mashambulizi wakitumia silaha ndogo katika maeneo tisa huku waasi wakiwalaumu wanajeshi wa Ukrain kwa kuwafyatulia risasi karibu na mji wa Debaltseve.
Mapema rais wa Ukrain Petro Poroshenko alisema kuwa ameamrisha wanajeshi wake kuheshimu makubaliano hayo lakini ameonya kuwa Ukrain haitakimya ikiwa makubaliano hayo yatakiukwa.
Share on Google Plus

About NELSON PASCHAL KAMUGISHA

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment

CREATED AND DESIGNED BY NELLYPAKA(WWW.NELLYPAKA.BLOGSPOT.COM)