TENGENEZA BLOG BOMBA SASA..

Marekani itapeleka silaha Ukraine?

http://wwwnc.cdc.gov/travel/images/map-ukraine.png 
Rais wa Marekani Barack Obama amesema kuwa Marekani inatafakari kupeleka silaha nchini Ukraine kusaidia kukabiliana na Waasi wanaoiunga mkono Urusi. 
http://www.kiswahili.rfi.fr/sites/kiswahili.filesrfi/imagecache/rfi_43_large/sites/images.rfi.fr/files/aef_image/Majeshi%20ya%20NATO.jpg
Akizungumza katika Ikulu ya White House baada ya mazungumzo na Kansela wa Ujerumani Angela Markel, Obama amesema nia itakuwa kuisaidia Ukraine kuimarisha ulinzi kuliko kulishinda jeshi la Urusi. Lakini amesema ana matumaini kuwa suluhu ya kidiplomasia itapatikana.

“Ubabe wa Urusi umeimarisha umoja wa Marekani na Ujerumani na washirika wetu duniani kote na ningependa kumshukuru Angela kwa uongozi wake imara na ushirika wetu tunapokutana na changamoto hii.Tunaendelea kusisitiza kupatikana kwa suluhu kwa njia ya diplomasia”amesema Obama
Naye Kansela wa Ujerumani Angela Markel haoni kama njia za kijeshi zinaweza kuumaliza mzozo huu. http://dunialeo.com/my/data/posts/1409919044-nato.jpg


Share on Google Plus

About NELSON PASCHAL KAMUGISHA

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment

CREATED AND DESIGNED BY NELLYPAKA(WWW.NELLYPAKA.BLOGSPOT.COM)