TENGENEZA BLOG BOMBA SASA..

Je Sepp Blatter ataibuka mshindi tena?


 Rais wa shirikisho la soka duniani Fifa, Sepp Blatter na mahasimu wake kwenye kinyang'anyiro cha Urais wamefaulu jaribio la uadilifu.
http://www.crwflags.com/fotw/images/i/int@fifa.gif
 Tume ya uchaguzi ya Fifa imewapitisha Sepp blatter na mahasimu wake watatu kwenye kinyang'anyiro cha Urais wa Shirikisho hilo utakaofanyika tarehe 29 mwezi May.
Taarifa ya Fifa imesema wote wanne wanakidhi vigezo vya kuwania Urais.
Rais wa shirikisho la Soka la nchini Uholanzi,Michael Van Praag na wa Jordan Mwana mfalme Ali bin Hussein watasimama kidete dhidi ya Blatter na Winga wa zamani wa timu ya taifa ya Portugal Luis Figo.
Blatter mwenye umri wa miaka 78 amekuwa Rais wa shirikisho hilo tangu mwaka 1998 na anawania muhula wa Tano.

http://skysportsng.com/wp-content/uploads/2015/01/Michael-van-Graag.jpg











Michael Van Praag
http://www2.pictures.zimbio.com/gi/Ali+Bin+Al+Hussein+FIFA+Ballon+Gala+2012+NI3gHmXp6hll.jpg
Jordan Mwana mfalme Ali bin Hussein


Share on Google Plus

About NELSON PASCHAL KAMUGISHA

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment

CREATED AND DESIGNED BY NELLYPAKA(WWW.NELLYPAKA.BLOGSPOT.COM)