TENGENEZA BLOG BOMBA SASA..

Washukiwa wa mauaji ya Nshimirimana wakamatwa

Jenerali aliyeuawa, Adolph NshimirimanaMwendesha mashtaka wa Burundi ametangaza kuwa, watu kadhaa wanaoshukiwa kuhusika na mauaji ya Jenerali Adolph Nshimirimana wamekamatwa. Jenerali huyo alikuwa mpambe wa Rais Pierre Nkurunziza na aliuawa kwenye shambulizi la roketi dhidi ya gari lake wiki iliyopita. Taarifa kutoka ofisi ya mwendesha mashtaka imesema kuwa, waratibu wakuu wa mauaji hayo bado wanasakwa lakini tayari watu kadhaa wanaoaminika kutekeleza jinai hiyo wametiwa mbaroni. Msemaji wa polisi ya Burundi, Pierre Nkurikiye amethibitisha kukamatwa washukiwa hao ingawa hakutoa maelezo zaidi. Rais Pierre Nkurunziza alikuwa ameipa polisi ya Burundi wiki moja kukamilisha uchunguzi na kuwakamata wahusika wa mauaji ya Jenerali Adolph Nshimirimana. Kuna hofu kwamba huenda polisi wamewakamata watu ambao si wahusika ili kumuonyesha rais kuwa wanafanya kazi kwa mujibu wa matarajio ya ikul
Share on Google Plus

About NELSON PASCHAL KAMUGISHA

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment

CREATED AND DESIGNED BY NELLYPAKA(WWW.NELLYPAKA.BLOGSPOT.COM)