TENGENEZA BLOG BOMBA SASA..

Calderon:Mourinho hakuweza presha Madrid

http://garycurneen.com/wp-content/uploads/2012/08/jose3.jpgKocha wa Chelsea Jose Mourinho hakuweza kuhimili presha kama mkufunzi wa Real Madrid ,aliyekuwa rais wa kilabu hiyo Ramon Calderon amesema.
Mkufunzi huyo wa Chelsea aliifunza kilabu hiyo kutoka mwaka 2010 hadi mwaka 2013, na hivyobasi kushinda taji la La Liga mwaka 2012 na taji la Copa Del Rey mwaka 2011 kabla ya kuelekea Stamford Bridge.
''Kuwa Meneja wa kilabu ya Real Madrid sio mchezo ni vigumu sana'',Calderon aliiambia BBC. Angalia kilichompata Mourinho.''Ni mtu ambaye hakuweza kuhimili presha'',.
Mourinho alimaliza wa pili katika La Liga katika msimu wake wa pili kama mkufunzi wa Real Madrid,ikiwa ni alama nne nyuma ya Barcelona,lakini alishinda ligi mwaka uliofuata alipoipatia Real Madrid pointi 100.
Share on Google Plus

About NELSON PASCHAL KAMUGISHA

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment

CREATED AND DESIGNED BY NELLYPAKA(WWW.NELLYPAKA.BLOGSPOT.COM)