
Kurudi uwanjani kwa kiungo wa kati
wa Arsenal Jack Wilshere' kutacheleweshwa kwa siku chache baada ya
mchezaji huyo kufanyiwa upasuaji mdogo.
Mwenzake Aaron Ramsey na Mathiew Flamini hawajulikani iwapo watacheza kufuatia majeraha ya mguu.
Upande wa Everton Romelu Lukaku anatarajiwa kuwa sawa licha ya kutoka katikati ya mechi na jeraha la mguu wiki iliopita.
John Stones na Aaron Lennon wanarudi baada ya kuhudumia marufuku lakini Steve Pienaar bado yuko nje na jeraha la goti.
About
NELSON PASCHAL KAMUGISHA
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
0 comments:
Post a Comment