TENGENEZA BLOG BOMBA SASA..

Arsenal kumenyana na Everton

Kurudi uwanjani kwa kiungo wa kati wa Arsenal Jack Wilshere' kutacheleweshwa kwa siku chache baada ya mchezaji huyo kufanyiwa upasuaji mdogo.
Mwenzake Aaron Ramsey na Mathiew Flamini hawajulikani iwapo watacheza kufuatia majeraha ya mguu.
Upande wa Everton Romelu Lukaku anatarajiwa kuwa sawa licha ya kutoka katikati ya mechi na jeraha la mguu wiki iliopita.
John Stones na Aaron Lennon wanarudi baada ya kuhudumia marufuku lakini Steve Pienaar bado yuko nje na jeraha la goti.
Share on Google Plus

About NELSON PASCHAL KAMUGISHA

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment

CREATED AND DESIGNED BY NELLYPAKA(WWW.NELLYPAKA.BLOGSPOT.COM)