TENGENEZA BLOG BOMBA SASA..

Wabuni mbinu kuepuka Vurugu viwanjani

http://www.dw.de/image/0,,16552871_303,00.jpg
 Klabu ya Soka nchini Brazil imekuja na wazo jipya la kupambana na tatizo la vitendo vya kihuni viwanjani miongoni mwa Mashabiki.

 Klabu ya Rucife inayocheza ligi ya juu nchini humo imewafunza Wazazi kadhaa, wakina Mama wa baadhi ya Mashabiki wao hasa mashabiki walio vijana ili waweze kuwazuia Watoto wao kujihusisha na vurugu viwanjani.
Tatizo la Mashabiki kujihusisha na vitendo vya vurugu limekua likikua katika baadhi ya maeneo ya Amerikay a kusini.
Katika tukio linalokumbukwa Mwaka jana , Mshabiki mmoja alipoteza maisha baada ya Sinki la Choo kudondoshwa kutoka juu na Mshabiki mpinzani walipokuwa Uwanjani.
Share on Google Plus

About NELSON PASCHAL KAMUGISHA

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

1 comments:

  1. 1 John 1:5
    This is the message we have heard from him and declare to you: God is light; in him there is no darkness at all.

    ReplyDelete

CREATED AND DESIGNED BY NELLYPAKA(WWW.NELLYPAKA.BLOGSPOT.COM)