TENGENEZA BLOG BOMBA SASA..

Pellegrini:''Hatumtegemei Yaya Toure''

http://e1.365dm.com/14/03/768x432/Fulham-v-Manchester-City-Yaya-Toure-hat-trick_3105609.jpg?20140405130013
 Mkufunzi wa Manchester United Manuel Pelegrini ana matumaini kwamba Manchester City inaweza kupambana ili kushinda taji la ligi kuu nchini Uingereza bila nyota wake Yaya Toure.
http://www.hariandepok.com/wp-content/uploads/2014/12/Manuel-Pellegrin.jpg
 City haijashinda mechi yoyote ya ligi ya EPL tangu Toure aelekee Afrika katika michuano ya mataifa ya Afrika.
''Ni mchezaji muhimu sana na ni muhimu kwa yeye kurudi kikosini.Lakini hatutegemei mchezaji mmoja,lazima tushinde bila yeye'',.
City iko katika nafasi ya pili ikiwa nyuma ya Chelsea kwa pointi saba na hawajashinda katika mechi zote tano za ligi walizocheza,Hatahivyo Pelegrini anasema kuwa wanawaza kuhimili presha hiyo.
Share on Google Plus

About NELSON PASCHAL KAMUGISHA

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment

CREATED AND DESIGNED BY NELLYPAKA(WWW.NELLYPAKA.BLOGSPOT.COM)