TENGENEZA BLOG BOMBA SASA..

Pele afanyiwa upasuaji


 Aliyekuwa nyota wa timu ya taifa ya Brazil Pele amefanyiwa upasuaji wa kibofu cha mkojo katika hospitali moja mjini Sao Paulo.
Vyombo vya habari nchini Brazil vimeripoti kwamba anaendelea vyema.

Pele mwenye umri wa miaka 74 alilazwa katika hospitali hiyo takriban miezi sita iliopita kwa upasuaji wa dharura ili kuondoa mawe katika figo yake.
Pele ambaye jina lake ni Edson Arantes do Nascimento alifunga zaidi ya mabao 1200 wakati alipokuwa akicheza soka na kuisaidia Brazil kushinda mataji matatu ya kombe la dunia.
Share on Google Plus

About NELSON PASCHAL KAMUGISHA

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment

CREATED AND DESIGNED BY NELLYPAKA(WWW.NELLYPAKA.BLOGSPOT.COM)