TENGENEZA BLOG BOMBA SASA..

Ivorycoast yaahidiwa zawadi kedekede

http://www.soccer24.co.zw/wp-content/uploads/2014/05/ivorycoastteam.jpg
Timu ya Taifa ya Ivory coast imelamba dume.imeahidiwa kuzawadiwa mamilioni ya dola na Serikali ya nchi hiyo baada ya kutwaa kombe la mataifa Afrika.Rais Allassane Ouattara atawapatia wachezaji wote 23, kila mmoja Nyumba yenye thamani ya takriban dola elfu hamsini,na dola elfu hamsini nyingine mkononi.hii ni baada ya kuifunga Ghana kwenye Fainali za michuano hiyo.



http://ciyaaro.com/portal/wp-content/uploads/2012/02/Ivory-Coast-national-team-player.jpg
 Ghana nayo si haba haijaondoka mikono mitupu kwani Mdhamini wao Shirika la petroli la Taifa atampatia kila mchezaji wa dola elfu 25.
http://static.ibnlive.in.com/ibnlive/pix/sitepix/06_2014/ghana-team_2106ap_630.jpg







Share on Google Plus

About NELSON PASCHAL KAMUGISHA

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment

CREATED AND DESIGNED BY NELLYPAKA(WWW.NELLYPAKA.BLOGSPOT.COM)