TENGENEZA BLOG BOMBA SASA..

Raheem Sterling kuongeza mkataba

http://premierleaguenow.co.uk/wp-content/uploads/2015/01/4453457.jpgMshambuliaji wa klabu ya Liverpool, Raheem Sterling ana matumaini ya kusaini mkataba mpya utakaombakisha klabuni hapo kwa muda mrefu.
Mkataba wa sasa wa Sterling unamalizika mwaka 2017 na mazungumzo na mkataba mpya bado hayajafikia muafaka.
Hivi karibuni meneja wa Liverpool, Brendan Rogders alidai kuwa klabu hiyo imepanga kumpa Sterling mkataba mpya wenye dili nono.
Sterling amesema anazungumza na wawakilishi wake na wamemuhakikishia kuwa yeye atilie mkazo soka na kuwaachia wao mambo mengine kwani watayamaliza hivi karibuni.
Nyota huyo amesema kwasasa anatilia mkazo kuisaidia Liverpool kushinda mechi zake na ni matumaini yake mazungumzo ya mkataba wake mpya yatamalizika hara
Share on Google Plus

About NELSON PASCHAL KAMUGISHA

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment

CREATED AND DESIGNED BY NELLYPAKA(WWW.NELLYPAKA.BLOGSPOT.COM)