Kumeshuhudiwa kashfa kadhaa za ubebaji mimba miongoni mwa wateja wa nje ya nchi, ikiwemo kesi maarufu ya wapenzi wawili wa Australia waliomuacha mwana wao wa kiume na mamake aliyemzaa kwa sababu aliyezaliwa na ulemavu, lakini wakamchukua dadake pacha aliyezaliwa bila ya matatizo yote na kumhamisha hadi Australia.
Sheria hiyo mpya haipigi marufuku malipo yote ya ubebaji mimba kwa niaba ya mteja wa kigeni, lakini inafanya kinyume cha sheria matumizi ya mawakala au kupigia debe matangazo ya wanawake wanaotaka kuwabebea wengine watoto.
0 comments:
Post a Comment