Wakati huo huo Pout Kang, msemaji wa waasi wa Sudan Kusini ametangaza kuwa, hawajafikia makubaliano yoyote yale na serikali ya Juba. Hayo yanajiri katika hali ambayo, Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa hivi karibuni liliunga mkono azimio la kuziwekea vikwazo pande mbili hasimu za Sudan Kusini, endapo hazitafikia makubaliano katika muda ulioainishwa ambao ulimalizika jana.
Makuei: Mazungumzo ya S/Kusini yana vizingiti vingi
Wakati huo huo Pout Kang, msemaji wa waasi wa Sudan Kusini ametangaza kuwa, hawajafikia makubaliano yoyote yale na serikali ya Juba. Hayo yanajiri katika hali ambayo, Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa hivi karibuni liliunga mkono azimio la kuziwekea vikwazo pande mbili hasimu za Sudan Kusini, endapo hazitafikia makubaliano katika muda ulioainishwa ambao ulimalizika jana.
0 comments:
Post a Comment