TENGENEZA BLOG BOMBA SASA..

Raia wa Israel kutoka Ethiopia walalama

Polisi wa Israeli waliokuwa wakitumia farasi, walikabiliana vikali na waandamanaji, wakati wa makabiliano katikati mwa mji wa Tel Aviv.

Walitumia mabomu ya kutoa machozi na risasi za mipira, ili kuwatawanya waandamanaji wenye asili ya Waisraeli- waitheopia, wanaopinga unyanyasaji wa polisi wanaowabagua.
Zaidi ya watu hamsini wamejeruhiwa na polisi.
Waziri mkuu, Benjamin Netanyahu, ameomba kuwepo kwa hali ya utulivu, huku akisema kuwa madai yote ya ubaguzi wa polisi yatachunguzwa.
Share on Google Plus

About NELSON PASCHAL KAMUGISHA

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment

CREATED AND DESIGNED BY NELLYPAKA(WWW.NELLYPAKA.BLOGSPOT.COM)