Mkuu wa jeshi la Nigeria amesema vita karibu vimekwisha na kwamba jeshi hilo litaikomboa miji ya Dikwa, Bama, Gwoza, Marte na maeneo mengine ya Nigeria siku chache zijazo. Jeshi la Nigeria limeyasema hayo huku nchi jirani na Nigeria zikifanya juhudi za kurejesha amani huko Nigeria kabla ya kufanyika uchaguzi mkuu nchini humo tarehe 28 mwezi ujao.
Jeshi Nigeria: Vita na Boko Haram kumalizika karibuni
Mkuu wa jeshi la Nigeria amesema vita karibu vimekwisha na kwamba jeshi hilo litaikomboa miji ya Dikwa, Bama, Gwoza, Marte na maeneo mengine ya Nigeria siku chache zijazo. Jeshi la Nigeria limeyasema hayo huku nchi jirani na Nigeria zikifanya juhudi za kurejesha amani huko Nigeria kabla ya kufanyika uchaguzi mkuu nchini humo tarehe 28 mwezi ujao.
0 comments:
Post a Comment