TENGENEZA BLOG BOMBA SASA..

Wanyama wafukuzisha kazi watu Australia

Watu 10 wafukuzwa kazi kwa kosa la kutumia wanyama hai, kutoa mafunzo.
Wakuu wa mbio za mbwa Nchini Australia, wamewafukuza kazi zaidi ya watu 10 kutoka katika sekta hiyo, kwa kosa la kutumia wanyama hai kuwapa mafunzo mbwa wao, wanaoshiriki mbio hizo.
Picha za video zilizopigwa kisiri, zilionyesha watoto wa nguruwe, sungura na panya buku, wanatumika kuwapa mafunzo ya kuwinda mbwa hao.
Wanaonekana wakikimbizwa na kuliwa wangali hai.
Share on Google Plus

About NELSON PASCHAL KAMUGISHA

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment

CREATED AND DESIGNED BY NELLYPAKA(WWW.NELLYPAKA.BLOGSPOT.COM)