TENGENEZA BLOG BOMBA SASA..

Wapiganaji wa IS wauteka mji nchini Iraq

http://www.dw.de/image/0,,17701506_303,00.jpg
Marekani imethibitisha kuwa wanamgambo wa Islamic State wameuteka mji wa Ali Baghdadi ulio mashariki mwa Iraq karibu na kituo cha jeshi la Marekani.
Msemaji wa makao makuu ya jeshi la Marekani (John Kirby) alisema kuwa ni mara ya kwanza kwa miezi kadhaa ambapo wanamgambo wa islamic state wameliteka eneo jipya.
Mji wa Al Baghadad ulio kwenye mkoa wa Anbar uko umbali wa chini ya kilomita 10 kutoka kituo cha jeshi la wanahewa 300 wa Marekani wanaowapa mafunzo wanajeshi wa Iraq.
Mapema wanajeshi wa Iraq walikabiliana na kile kilichoonekana kuwa shambulizi la kujitolea muhanga dhidi ya kituo hicho.
Share on Google Plus

About NELSON PASCHAL KAMUGISHA

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment

CREATED AND DESIGNED BY NELLYPAKA(WWW.NELLYPAKA.BLOGSPOT.COM)