TENGENEZA BLOG BOMBA SASA..

Mapokezi ya Magufuli kuchukua Fomu na alivyosindikizwa mpaka ofisi za CCM

Agosti 4, 2015 ni siku ambayo mgombea wa nafasi ya Urais kupitia CCM Dkt. John Pombe Magufuli tayari kafika kwenye ofisi za Tume ya Uchaguzi Tanzania kuchukua fomu za kuwania nafasi hiyo ya Urais 2015.
Mgombea rasmi wa Urais Mhe. John P. Magufuli akiwa na mgombea mwenza Mhe. Samia Suluhu Hassan akitoka kuchukua fomu ya kugombea Urais katika ofisi za Tume ya Uchaguzi (NEC).

Share on Google Plus

About NELSON PASCHAL KAMUGISHA

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment

CREATED AND DESIGNED BY NELLYPAKA(WWW.NELLYPAKA.BLOGSPOT.COM)