TENGENEZA BLOG BOMBA SASA..

Maafisa Polisi 20 wauawa Afghanistan


 Maafisa Mashariki mwa Afghanistan wamesema maafisa wa Polisi 20 wameuawa katika mashambulio kadhaa.Watu wanne wameripotiwa kuvalia mavazi ya Polisi na kuingia katika Ofisi za makao makuu ya Polisi katika jimbo la Logar, na kujilipua.
Gavana wa Jimbo hilo Niaz Muhammad Amiri ameiambia BBC kuwa Maafisa wengine wanane walijeruhiwa.Wengi kati ya waliopoteza maisha walikuwa wakipata chakuwa wakati wa mapumziko.
Kumekuwa na ongezeko la mashambulizi ya Wanamgambo miezi ya hivi karibuni wakati ambapo vikosi vya usalama vikiwa vimechukua udhibiti wa nchi hiyo kutoka kwa Majeshi ya NATO.
Share on Google Plus

About NELSON PASCHAL KAMUGISHA

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment

CREATED AND DESIGNED BY NELLYPAKA(WWW.NELLYPAKA.BLOGSPOT.COM)