TENGENEZA BLOG BOMBA SASA..

Je unawalinda watoto na mtandao?

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg_hG4pEnf_x7qWGSrxf6JCNeXSFB55NqSs_N9ff1D53tx9EwZyp1uefki2lGELS_zhkzzBzYd77mh4llNjaXe1mCpPd8xaeXzKNehBE1jd4IEXdnzrc3xSiKE5NSrFsCesbyMU4N0Oclw/s1600/original.jpg
10 Februari 2015 Imebadilishwa mwisho saa 04:30 GMT
Dunia inaadhimisha siku ya ya matumizi ya intaneti ambapo kauli mbinu ya mwaka huu ni kubuni kwa pamoja intaneti bora na salama , kwa kuwaajibisha zaidi watumiaji wa intaneti hasa kupitia simu za mkononi.
Wakati simu za mkononi zenye huduma ya intaneti zikizidi kuongeza kila kukicha, ikiwa matokeo ya maendeleo teknolojia ya kisasa duniani, tishio kubwa kwa sasa ni athari za kimaadili kwa watoto pamoja na vijana wadogo ambao baadhi yao ni miongoni mwa wanaotumia simu za mkononi zenye huduma ya internet.
Muandishi wetu wa Bujumbura Ramadhani KIBUGA ametathini athari matumizi za mkononi zenye internet kwa watoto na kutuandalia taarifa ifuatayo.
Share on Google Plus

About NELSON PASCHAL KAMUGISHA

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment

CREATED AND DESIGNED BY NELLYPAKA(WWW.NELLYPAKA.BLOGSPOT.COM)