TENGENEZA BLOG BOMBA SASA..

Rais wa zamani kushtakiwa Chad


 Mahakama nchini Senegal imeamua kuwa kuna ushahidi wa kutosha kuweza kumfungulia mashtaka rais wa zamani wa Chad Hissene Habre kutokana na makosa ya uhalifu wa kivita, mateso na uhalifu dhidi ya ubinadamu.
Majaji kwenye mahakama iliyobuniwa na senegal na muungano wa Afrika wamewahoiji zaidi ya mashahidi 2000 katika kipindi cha miaka miwili iliyopita.
Bwana Habre anashutumiwa kwa mauaji ya maelfu ya watu yaliyoendeshwa kwa misingi ya kisiasa wakati wa kipindi cha miaka minane ya uongozi wake kilichomalizika mwaka 1990.
Share on Google Plus

About NELSON PASCHAL KAMUGISHA

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment

CREATED AND DESIGNED BY NELLYPAKA(WWW.NELLYPAKA.BLOGSPOT.COM)