TENGENEZA BLOG BOMBA SASA..

Wenger:Sanchez ana ishara za uchovu




 Mkufunzi wa Arsenal Arsene Wenger amekiri kwamba mshambuliaji wake nyota Alexi Sanchez huenda ameanza kuonyesha ishara za uchovu.
Mchezaji huyo wa taifa la Chile amefunga mabao 18 katika mechi 32 za the Gunners ,lakini Wenger anahisi kwamba Sanchez hakucheza vyema wakati wa mechi ya ushindi dhidi ya Leicester.
Sanchez alipata jereha la mguu na hivyobasi kutolewa wakati wa mechi hiyo na sasa haijulikani iwapo atacheza mechi ya FA siku ya jumapili dhidi ya Middlesbrough.
''Hakucheza kama anavyocheza kila siku'',.alisema Wenger.
Share on Google Plus

About NELSON PASCHAL KAMUGISHA

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment

CREATED AND DESIGNED BY NELLYPAKA(WWW.NELLYPAKA.BLOGSPOT.COM)