Shirika la habari la Associated Press limemnunukuu mmoja wa waokoaji akisema kuwa wamehesabu maiti 20.
zaidi ya abiria 250 wameokolewa, baada ya mabehewa sita kutumbukia mtoni
Wakuu wa shirika la Reli la India wanasema ajali hiyo ilitokea usiku wa manane kuamkia jumatano.
Anil Saksena, ni msemaji Shirika la Reli la India, amesema Treni moja ilitoka katika njia yake huku nyingine ikifuatia nyuma yake katika njia ya kupishana, Treni zilipoteza mwelekeo kutokana na mafuriko.
0 comments:
Post a Comment