TENGENEZA BLOG BOMBA SASA..

Liverpool yafuzu robo fainali ya FA

http://i1.liverpoolecho.co.uk/incoming/article6470421.ece/alternates/s615/jr050114liverpool-5.jpg
 Mabingwa mara saba Liverpool walitoka nyuma na kuishinda Crystal Palace na kufuzu katika robo fainali ya kombe la FA.
Fraizer Campbell alikuwa ameiweka kifua mbele Crystal Palace baada ya kichwa cha Dwight Gayle kupanguliwa na kipa wa Liverpool Simon Mignolet.
Lakini Danniel Sturridge alisawazisha baada ya kupata pasi safi kutoka kwa Jordan Henderson.
Adam Lallana alifunga bao la ushindi kutoka pasi iliopigwa na Mario Balotelli.
Share on Google Plus

About NELSON PASCHAL KAMUGISHA

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment

CREATED AND DESIGNED BY NELLYPAKA(WWW.NELLYPAKA.BLOGSPOT.COM)