TENGENEZA BLOG BOMBA SASA..

Lulu afunguka, asema muziki upo juu

“Unawaza kwanza kisha unatenda, wasanii wa filamu hatuna mawazo mazuri zaidi ya ubishoo tu, hatuoni mbali hatuna wivu wa kimaendeleo, leo unakuta wasanii wa Bongo Fleva wanatoka nje wanarudi na tuzo lakini sisi tumekaa tu,” alisema Lulu
http://i.ytimg.com/vi/D5tbkAzFVCo/maxresdefault.jpg
 ELIZABERTH Michael ‘Lulu’ amesema wasanii wengi wa filamu hawana mawazo ya maana na hawafikirii mambo makubwa kuhusu wanachokifanya, bali hufanya tu kwa sababu wapo katika jamii na anahisi wale wa Bongo Fleva wanafikiria zaidi yao.
“Unawaza kwanza kisha unatenda, wasanii wa filamu hatuna mawazo mazuri zaidi ya ubishoo tu, hatuoni mbali hatuna wivu wa kimaendeleo, leo unakuta wasanii wa Bongo Fleva wanatoka nje wanarudi na tuzo lakini sisi tumekaa tu,” alisema Lulu.
Msanii huyo alisemaa mwaka huu atapigana kuhakikisha anatoka kimataifa na kufanya kazi kubwa ambayo inaweza kumpatia tuzo kubwa na kufungua njia kwa wasanii wa filamu waliobweteka na kuridhika na soko la ndani ambalo halieleweki.
Share on Google Plus

About NELSON PASCHAL KAMUGISHA

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment

CREATED AND DESIGNED BY NELLYPAKA(WWW.NELLYPAKA.BLOGSPOT.COM)