
Serikali ya Mali imekubali kusitisha uhasama na Waasi wa Tuareg kaskazini mwa Nchi hiyo.
 
Makundi
 yaliyotia saini makubaliano ya kusitisha mapigano nchini 
Algeria.Makundi yaliyotia saini makubaliano nchini Algeria ni pamoja na 
Tuareg,MNLA na Waasi wa Kiarabu Azawad au MAA.
Makubaliano hayo ni
 sehemu ya mazungumzo yanayoendelea ya kurejesha hali ya utulivu 
kaskazini mwa Mali, miaka miwili baada ya Jeshi la Ufaransa kuwafurusha 
Waasi wa kiislamu.
Lakini kumekuwa na wasiwasi kuwa bado itakuwa 
vigumu kupata suluhu hasa kwa mambo kama ya kukabidhi Madaraka kaskazini
 mwa Mali ambapo Waasi wanaita Azawad.
 
                            About 
                            NELSON PASCHAL KAMUGISHA
 
                            This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
                          
 
 
 
0 comments:
Post a Comment