TENGENEZA BLOG BOMBA SASA..

Serikali yakubaliana na waasi Mali

Serikali ya Mali imekubali kusitisha uhasama na Waasi wa Tuareg kaskazini mwa Nchi hiyo.
Makundi yaliyotia saini makubaliano ya kusitisha mapigano nchini Algeria.Makundi yaliyotia saini makubaliano nchini Algeria ni pamoja na Tuareg,MNLA na Waasi wa Kiarabu Azawad au MAA.
Makubaliano hayo ni sehemu ya mazungumzo yanayoendelea ya kurejesha hali ya utulivu kaskazini mwa Mali, miaka miwili baada ya Jeshi la Ufaransa kuwafurusha Waasi wa kiislamu.
Lakini kumekuwa na wasiwasi kuwa bado itakuwa vigumu kupata suluhu hasa kwa mambo kama ya kukabidhi Madaraka kaskazini mwa Mali ambapo Waasi wanaita Azawad.
Share on Google Plus

About NELSON PASCHAL KAMUGISHA

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment

CREATED AND DESIGNED BY NELLYPAKA(WWW.NELLYPAKA.BLOGSPOT.COM)