Huku hayo yakijiri kinara wa Boko Haram ametangaza utiifu wake kwa kundi la kigaidi la Daesh (ISIL). Abubakr Shekau ametangaza kupitia mtandao wa kijamii wa twitter kuwa anamtii kiongozi wa kundi la kitakfiri la Daesh, Abubakr Baghdad. Katika siku za hivi karibuni magaidi wa Boko Haram wamekuwa wakitekeza jinai na ukatili sawa na ule wa kundi la Daesh kama vile kuwachinja na kuwateketeza moto watu wasio na hatia.
Boko Haram watoto watu waliokuwa wakisoma Qur'ani
Huku hayo yakijiri kinara wa Boko Haram ametangaza utiifu wake kwa kundi la kigaidi la Daesh (ISIL). Abubakr Shekau ametangaza kupitia mtandao wa kijamii wa twitter kuwa anamtii kiongozi wa kundi la kitakfiri la Daesh, Abubakr Baghdad. Katika siku za hivi karibuni magaidi wa Boko Haram wamekuwa wakitekeza jinai na ukatili sawa na ule wa kundi la Daesh kama vile kuwachinja na kuwateketeza moto watu wasio na hatia.
0 comments:
Post a Comment