Baadhi ya duru za Kiarabu pia zimetangaza kuwa mashambulizi hayo yalikusudiwa kukilenga kituo kimoja cha kuundia silaha. Wakati huo huo viongozi wa Sudan wameashiria rekodi ya mashambulizi ya huko nyuma ya Israel dhidi ya nchi hiyo na kuunyooshea kidole cha tuhuma moja kwa moja utawala huo ghasibu.
Israel yafanya mashambulizi ya anga nchini Sudan
Baadhi ya duru za Kiarabu pia zimetangaza kuwa mashambulizi hayo yalikusudiwa kukilenga kituo kimoja cha kuundia silaha. Wakati huo huo viongozi wa Sudan wameashiria rekodi ya mashambulizi ya huko nyuma ya Israel dhidi ya nchi hiyo na kuunyooshea kidole cha tuhuma moja kwa moja utawala huo ghasibu.
0 comments:
Post a Comment