Mkutano huo pia utatupia jicho ripoti ya
maendeleo katika utekelezaji wa maamuzi makuu yaliyosalia ambayo ni
muhimu kwa jumuiya hiyo. Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) inatazamiwa
pia kupata Mwenyekiti mpya. Kiti cha uwenyekiti wa jumuiya hiyo hivi
sasa kinashikiliwa na Kenya. Suala la kuwateuwa majaji wa Mahakama ya
Haki ya Afrika Mashariki pia litakuwa katika ajenda ya mkutano huo.
- Blogger Comment
- Facebook Comment
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
0 comments:
Post a Comment