Jumuiya za kiraia za Burkina Faso zinaamini kuwa, Compaore ambaye sasa anaishi nchini Ivory Coast, anafanya kila analoweza ili kushiriki tena katika masuala ya siasa za Burkina Faso. Wakati huo huo jumuiya za kiraia za nchini Burkina Faso zimeitaka serikali ya muda ya nchi hiyo azuie wanajeshi kushiriki kama wagombea katika uchaguzi wa Rais uliopangwa kufanyika mwezi Oktoba mwaka huu ili uchaguzi huo ufanyike vyema pasina mivutano yoyote. Wagombea wengi wanaotarajiwa kushiriki katika uchaguzi ujao wa Rais wa Burkina Faso ni wanajeshi.
Mgombea Urais mwanajeshi hatakiwi Burkina Faso
Jumuiya za kiraia za Burkina Faso zinaamini kuwa, Compaore ambaye sasa anaishi nchini Ivory Coast, anafanya kila analoweza ili kushiriki tena katika masuala ya siasa za Burkina Faso. Wakati huo huo jumuiya za kiraia za nchini Burkina Faso zimeitaka serikali ya muda ya nchi hiyo azuie wanajeshi kushiriki kama wagombea katika uchaguzi wa Rais uliopangwa kufanyika mwezi Oktoba mwaka huu ili uchaguzi huo ufanyike vyema pasina mivutano yoyote. Wagombea wengi wanaotarajiwa kushiriki katika uchaguzi ujao wa Rais wa Burkina Faso ni wanajeshi.
0 comments:
Post a Comment